HOME

Thursday, 15 December 2016

MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOTAKA KUNUNUA COMPUTER

1. UKUBWA WA RAM
nendo ram ni kifup cha neno RANDOM ACCESS MEMORY. kazi kubwa ya RAM ni kuisaidia computer kufungua mafile na mafolder mbalimbali, pia hufihadhi taarifa kwa muda mfupi na taarifa hizi huwa zinafutika pale tu unapozima computer na kuwasha. ili computer iwe faster au iwe slow hutegemea sana ukubwa wa RAM. ndio maana RAM isipokuwepo kwenye computer yako haiwezi kuwaka, itaishia kuonesha charge inaingia lakini haiwaki.  kwahiyo unapotaka kununua computer hakikisha RAM inakuwa na ukubwa wa atleast 2GB

2. UKUBWA WA PROCESSOR
Processor ni kama ubongo wa computer yako, kitu chochote kinachofanyika kwenye computer processor ndio hufanya kazi hiyo. yan mfano unabonyeza herufi M na inatokea, kitendo hiki cha kubonyeza na kutokea huwa kinafanywa na PROCESSOR. kwa jina lingine processor huitwA CENTRAL PROCESSING UNIT. kwahiyo unapotaka kununua computer ni muhimu kuhakikisha processor yako inaukubwa kias, atleast kuanzia 2GB.

3. UKUBWA WA HARD DISK
hard diski ndio memory ya computer yako. humo ndio huhifadhiwa vitu vyote unavyoviweka kkwenye computer, mfano unapoweka mizki au movies au mafile yako yote huhifadhiwa kwenye HARD DISK, kwa kifupi huwa inaitwa HDD. ukubwa wa HDD hutegemeana na matumizi ya computer husika. kama unamatumizi makubwa computer yenye HDD kubwa. na kinyme chake ni sahihia nunua 

Saturday, 3 December 2016

JINSI YA KUBADILI PASSWORD KWENYE COMPUTER YAKO

Jinsi ya kubadili password kwenye computer yako fuata hatua zifuatazo.
(1)Washa computer yako ingiza password zako.
(2)Click kwa pamoja CTRL+ALT+DELETE.
(3)Utaona option nyingi wewe chagua "CHANGE PASSWORD".
(4)Ingiza old password(password unazotumia)
(5)Ingiza password mpya
(6)Confirm new password (hakikisha password mpya)
(7)Click button ya enter.
(8)hapo utakua umefanikisha kubadili password zako.

JINSI YA KUONDOA PATTERN AU LOCK KWENYE SIMU BILA KUFLASH NA BILA KUTUMIA SOFTWARE YOYOTE

Watu wengi wamekuwa wakipata tatizo la kusahau password au pattern kwenye simu zao, wengi huzani kwamba njia pekee ya kuiondoa hii ni kuflash simu, leo nitakwenda kufundisha njia rahis ya kuziondoa password bila kuiflash au bila software yoyote. Kwenye somo la leo nitatumia simu aina 4, ila hata kwenye simu nyingine njia hizi hutumika, nitatumia TECNO,HUAWEI,VODAFONE, na SAMSUNG.
Zifatazo ni hatua za kufata, fuata hatua hizi kwa umakini na utafanikiwa bila shida
 1. Zima simu yako toa betri na ulirudishe,
 2. a) Kama unatumia HUAWEI,VODAFONE AU TECNO bonyeza button ya kuongezea sauti na ya kuwashia kwa pamoja kwa sekunde 15, kufanya hivyo kutakuletea Recovery menu.
b)kama unatumia Samsung bonyeza buttonya kuwashia, kuongezea sauti na home button kwa sekunde 15, kufanya hivyo kutakuletea Recovery menu.
3. Tumia button ya kupunguzia sauti na ushuke mpaka kwenye wipe data/factory reset
4. Bonyeza button ya kuwashia kisha tumia button ya kupunguzia sauti kushuka mpaka kwenye delete all users data then bonyeza button ya kuwashia. (kwa baadhi ya sim za tecno na Sony Bonyeza button ya kuongezea sauti kisha tumia button ya kupunguzia sauti kushuka mpaka kwenye delete all users data then bonyeza button ya kuongezea sauti)
 5. Iache kwa muda kisha utaona neno Reboot now liko highlighted bonyeza button ya kuwashia kisha iache izime na iwake( kwa baadhi ya sim zitakuomba ukubali kufuta bonyeza button ya kuwashia kisha utaona neno Reboot now liko highlighted bonyeza button ya kuwashia kisha iache izime na iwake) kwa kesi ya baadhi ya simu utatumia button ya kuongezea sauti badala ya button ya kuwashia.
 6. Hapo utakuwa umefanikiwa kuondoa pattern au password kwenye simu yako
MWISHO
denismyamba@2016
myambad@gmail.com